Wednesday, April 9, 2014

MAGAZETINI JUMATANO YA LEO TAR 9 APRIL..


2_f9528.jpg
3_ef996.jpg
4_5b536.jpg
5_ed5d2.jpg
6_53ea3.jpg
7_3ecca.jpg
8_92bca.jpg
9_02731.jpg
10_28ad2.jpg
14_99476.jpg
15_9c3da.jpg
16_30411.jpg
17_ee32a.jpg
734532_688856221178839_3505223521284431292_n_e7437.jpg
988449_688868244510970_343624184223930322_n_d5648.jpg
1016901_688868391177622_5080481849822924018_n_1_5b2d1.jpg
1619592_688868804510914_5108274513682072383_n_1_7d25d.jpg
1619592_688868804510914_5108274513682072383_n_73513.jpg
1888668_688868767844251_6838912026552545065_n_1_d666b.jpg
1888668_688868767844251_6838912026552545065_n_e3ebc.jpg
1908280_688858201178641_4392281045351448218_n_c4eec.jpg
10009324_688868707844257_3223930939566431625_n_1_56fb2.jpg
10014679_688868731177588_3644161689935062685_n_1_bd474.jpg
10154222_688855754512219_2239816382377584918_n_a6893.jpg
10157308_688856147845513_3028793577944333041_n_27f95.jpg
10174825_688855814512213_8756037689195769919_n_ff4d1.jpg
10176274_688868337844294_3098234346184109594_n_1_275b5.jpg
10245569_688868281177633_6982476348478252959_n_c4328.jpg
10247489_688856291178832_3706964779770992812_n_4f759.jpg
10252071_688856427845485_1163504132280064207_n_0819a.jpg
10253951_688868444510950_2185340856065114798_n_1_330ea.jpg
10259044_688858461178615_2269344048891820015_n_05aab.jpg


MAAJABU:CHEKI JINSI HARUSI HII ILIVYOFUNGWA HUKU WAHUSIKA WAKIWA UCHI...NI BALAA TU!.



Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni,hapa bongoland na sehemu nyingi duniani kwa ujumla maharusi mara nyingihujipangia mavazi yao kwa ajili ya siku ya harusi yao huku wakitumia gharama
nyingi kununulia nguo hizo kama mashela ya gharama na suti za maana na kali.Lakini huko New zealand hayo yote hayaitajiki kwan maharusi hufunga ndoa wakiwa watupu kabisa!!Hawa wanajiita Lowes’ Unclad wedding wakidai wanaonesha uhalisia katika nyanja hiyo.


Na wasimamizi wao nao mtindo ule ule!


kweli dunia it's about to end maana hivi sio vya kawaida hata kidogo...


Tuesday, April 8, 2014

OSCAR PISTORIUS AANZA KUJITETEA NA KUJUTA MAHAKAMANI..

Oscar Pistorius akilia alipokuwa chumba cha mahakama Februari 2013
Oscar Pistorius akiwa amejaa majonzi ameanza kujitetea katika kesi ya mauaji inayomkabili kwa kuiomba radhi familia ya Reeva Steenkamp.
Kwa sauti ya kutetema, amesema alikuwa "akijaribu kumlinda" na amesema anashindwa kujua uchungu wanaoupata.

Waendesha mashitaka wanasema Pistorius alimuua Steenkamp mwezi Februari 2013 baada ya kuzozana. Pistorius anasema alidhani ni jambazi.Bwana Pistorius amesema anasumbuliwa na"ndoto za kutisha" na mara nyingi aliamka na kusikia harufu ya damu ya Bi Steenkamp.
Mwanaridha huyo mwenye ulemavu wa miguu amewaambia ndugu wa Bi Steenkamp kwamba "hakuna wakati ambao ameshindwa kufikiria juu yao tangu mkasa huu utokee".
"Naamka kila siku asubuhi na ninyi ni watu wa kwanza kuwafikiria, watu wa kwanza ninaowaombea. Sifahamu uchungu na mawazo na ukiwa ambao nimewasababishia ninyi na familia yenu.
" Nilikuwa najaribu kumlinda Reeva. Nawahakikishia kuwa alipokwenda kulala usiku ule alihisi kupendwa".
"nimejaribu kuandika maneno yangu mengi kwenye karatasi. Mara nyingi kuwaandikia. Lakini hakuna maneno yatakayotosheleza maelezo yangu."
Amesema anatumia dawa za kuzuia msongo wa akili na kukosa usingizi.
"Naogopa kulala, Nimekuwa na ndoto za kutisha, Nasikia harufu ya damu na kuamka nikiwa mwoga.," amesema.
Amesema kamwe hataki kumiliki silaha
Source:bbc swahili

TAZAMA VICHWA VYA MAGAZETI MBALIMBALI YA LEO JUMANNE TAR 8...

1_df6c1.jpg




2_60742.jpg
3_abfda.jpg
4_146e8.jpg
5_46469.jpg
6_6457f.jpg







MIAKA MIWILI BAADA YA KIFO CHA KANUMBA:SOMA MANENO ALIYOYAANDIKA LULU KUHUSU KANUMBA..


Leo ni siku ya kutimiza miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha Steven Kanumba aliyekuwa starmkubwa wa filamu na kufanikiwa kutoa njia kwa tasnia ya filamu nchini. Kupitia mtandao wa kijamii Elizabeth Michael "Lulu" ambaye anakabiriwa na kesi ya mauaji ya Kanumba bila kukusudia ameandika kwa uchungu kuonyesha kuwa mpaka leo bado haamini kuwa Kanumba alikwishafariki.
Kupitia mtandao mmoja maaruffu wa kijamii, 
 Lulu ameandika
  "bado Siamini kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala kukusikia baba, Ninaamini bado tupo nawe kiroho na ninaamini zaidi nasfi yako huko ilipo inasimama kunitetea na kunipigania. Inaweza kuchukua miaka na miaka kukuelezea. You still live in me daddy and you are dearly missed. R.I.P daddy yangu".