Nilipomuuliza Nay kuhusu hawa Warembo, minyororo na damu akanijibu ‘ni dizaini ya video ninazozipenda mimi’
Saturday, July 26, 2014
TAZAMA PICHA ZA VIDEO MPYA YA NAY WA MITEGO-MR NAY.
Friday, July 25, 2014
HOSPITALI YA IMTU YAFUNGIWA NA SERIKALI.
Lile sakata la kunaswa kwa viungo vya binadamu zaidi ya 150 huko Bunju nje kidogo la jiji wa Dar es salaam limepelekea kufungiwa kwa hospital iliyohusika na utupaji huo(IMTU) ambayo pia inatoa mafunzo ya udaktari kwa wanafunzi wanaosomea fani hiyo hapo chuoni.
Chama cha madaktari kililaani sana kitendo hicho kwani ilisemekana kwamba ni ukiukwaji wa maadili na viapo vya fani hiyo.
Baada ya tukio hilo serikali ilifanya ukaguzi wa kushtukiza hospitalini hapo na kubaini mapungufu mengine mengi kama vile kukosa baadhi ya vifaa vya muhimu pamoja na kuchanganya dawa zilizopitwa na muda.Wanafunzi wa chuo hicho wapigwa na butwaa na uamuzi huo na kushindwa nini cha kufanya!.
kingstar!..
Friday, July 18, 2014
HIVI NDIVYO KESI YA MUME WA FLORA MBASHA INAVYOENDELEA MAHAKAMANI.
Katika kesi hiyo inayoendeshwa na Hakimu Wilbert Luago,amelazimika kuhairisha kesi hiyo kwa muda wa nusu saa kwa hoja aliyoitoa Mbasha kwamba ana wakili wa kumtetea lakini alishindwa kufika kutokana na matatizo ya usafiri.
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya kuwa na wakili au ana nia ya kuweka wakili kwani tangu kesi hiyo imeanza Mbasha hajapeleka wakili yoyote.
Mara baada ya nusu saa kupita Wakili wa mshitakiwa alituma muakilishi wake kuwakilisha barua za dharula ambazo zilionesha kuwa yupo safarini mkoani Arusha na kuomba kesi hiyo kuahirishwa.
Emanuel Mbasha ana kabiliwa na kesi mbili za ubakaji ambapo inadaiwa alitenda makosa hayo maeneo ya Tabata katika nyakati mbili tofauti,Mbasha alisindikizwa mahakamani na ndugu zake huku Mkewe Flora Mbasha kutoonekana Mahakamani na badala yake alionekana mdogo wake Flora ambaye ni shemeji yake Emanuel Mbasha.
Kesi hii imehairishwa mpaka July 23 mwaka huu.
millard ayo!
Wednesday, July 16, 2014
HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA (ACSEE 2014).
Tazama kwa urahisi kabisa matokeo ya kidato cha sita mwaka huu 2014.Bonyeza linki ifuatayo kuyaangalia moja kwa moja kupitia blog yako hapa:
| MATOKEO ACSEE 2014 |
| MATOKEO UALIMU 2014 |
Wednesday, July 2, 2014
MPIGIE KURA DIAMOND PLATNUMZ ILI AWEZE KUSHINDA AFRIMMA AWARDS.
Yupo nominated kwenye category 5.
Best male east afrika
Song of the year(number1).
Video of the year (number 1)
Best collabo (nymber1 rmx)ft davido
And Best afrikan artist of the year
.kuvote fuata link hii http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/
Kisha vote kwenye kila category aliyopo.
KURA yako ndiyo itakayomuwezesha diamond aweze kushinda tuzo hizi. Tusiwe watu wa kushangaa asipopota tuzo wakati hatupigi kura.
Link iyo apo sasa na kazi ni kwenu..
Subscribe to:
Comments (Atom)