Nilipomuuliza Nay kuhusu hawa Warembo, minyororo na damu akanijibu ‘ni dizaini ya video ninazozipenda mimi’
Showing posts with label fulgence36.blogspot.com/burudani. Show all posts
Showing posts with label fulgence36.blogspot.com/burudani. Show all posts
Saturday, July 26, 2014
TAZAMA PICHA ZA VIDEO MPYA YA NAY WA MITEGO-MR NAY.
Friday, July 18, 2014
HIVI NDIVYO KESI YA MUME WA FLORA MBASHA INAVYOENDELEA MAHAKAMANI.
Katika kesi hiyo inayoendeshwa na Hakimu Wilbert Luago,amelazimika kuhairisha kesi hiyo kwa muda wa nusu saa kwa hoja aliyoitoa Mbasha kwamba ana wakili wa kumtetea lakini alishindwa kufika kutokana na matatizo ya usafiri.
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya kuwa na wakili au ana nia ya kuweka wakili kwani tangu kesi hiyo imeanza Mbasha hajapeleka wakili yoyote.
Mara baada ya nusu saa kupita Wakili wa mshitakiwa alituma muakilishi wake kuwakilisha barua za dharula ambazo zilionesha kuwa yupo safarini mkoani Arusha na kuomba kesi hiyo kuahirishwa.
Emanuel Mbasha ana kabiliwa na kesi mbili za ubakaji ambapo inadaiwa alitenda makosa hayo maeneo ya Tabata katika nyakati mbili tofauti,Mbasha alisindikizwa mahakamani na ndugu zake huku Mkewe Flora Mbasha kutoonekana Mahakamani na badala yake alionekana mdogo wake Flora ambaye ni shemeji yake Emanuel Mbasha.
Kesi hii imehairishwa mpaka July 23 mwaka huu.
millard ayo!
Subscribe to:
Posts (Atom)